Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, October 18, 2009

SIMBA SPIDI 120 SHAAAAAAAAAAAAAA....

LIGI kuu Tanzania bara imeendelea tena leo katika dimba la Uhuru jijini Dar es Salaam Wekundu wa msimbazi Simba wameichapa JKT Ruvu kwa magoli 4 - 1.
Kipigo hicho kikali kimeashiria timu ya Simba kuwa vitani Zaidi na kuwatumia ujumbe Dar es Salaam Young African kwamba wakae sawa watakapokutana nao.
Akielezea hali ya mchezo msemaji wa Simba Cliford Ndimbo amesema kuwa mchezo ulikuwa mzuri na ushindi huo walisitahili kupata, kutokana na mchezo mzuri walionyesha uwanjani wachezaji waKlabu ya Simba sasa inaongoza ligi ikiwa inajumla ya Pointi 24 katika msimamo wa ligi kuu Tanzania Bara.

No comments :

Post a Comment