LIGI kuu Tanzania bara imeendelea tena leo katika dimba la Uhuru jijini Dar es Salaam Wekundu wa msimbazi Simba wameichapa JKT Ruvu kwa magoli 4 - 1.
Kipigo hicho kikali kimeashiria timu ya Simba kuwa vitani Zaidi na kuwatumia ujumbe Dar es Salaam Young African kwamba wakae sawa watakapokutana nao.
Akielezea hali ya mchezo msemaji wa Simba Cliford Ndimbo amesema kuwa mchezo ulikuwa mzuri na ushindi huo walisitahili kupata, kutokana na mchezo mzuri walionyesha uwanjani wachezaji waKlabu ya Simba sasa inaongoza ligi ikiwa inajumla ya Pointi 24 katika msimamo wa ligi kuu Tanzania Bara.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment