
Ofisa Uhusiano na Udhamini wa Kampuni ya Tigo, Jackson Mmbando (kushoto) akimkabidhi vifaa Kamishina wa Uhamiaji anayeshughulikia Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani, Magrusi Hulungi vifaa hivyo michezo mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milion.6.8 kwa ajili ya mashindano ya SHIMIWI yanayoendelea mjini morogoro,
anaye shuhudia kulia ni Kamishina anaeshuhulikia vibari. Bariki Shayo.(Picha na Rajabu Mhamila)

No comments :
Post a Comment