Ofisa Uhusiano na Udhamini wa Kampuni ya Tigo, Jackson Mmbando (kushoto) akimkabidhi vifaa Kamishina wa Uhamiaji anayeshughulikia Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani, Magrusi Hulungi vifaa hivyo michezo mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milion.6.8 kwa ajili ya mashindano ya SHIMIWI yanayoendelea mjini morogoro,
anaye shuhudia kulia ni Kamishina anaeshuhulikia vibari. Bariki Shayo.(Picha na Rajabu Mhamila)
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment