Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, October 8, 2009

MSHINDI BSS KULAMBA MILIONI 25

Wasanii walioingia katika fainali za Bongo Star Seach zinazozaminiwa na kampuni ya Vodacom pamoja na Kampuni ya bia Tanzania (TBL) wakiimba wakati wa utambulisho wa zawadi Dar es salaam jana kutoka kushoto ni Beatrice William,Jackson George,Pascal Castan na Kelvin Mbati.(Picha na Rajabu Mhamila)
ZAWADI za mshindi wa Bongo Star Search mwaka 2009 zimetangazwa leo ambapo mshindi wa kwanza atalipwa kiasi cha shilingi milioni 25, wa pili shilingi milioni 5 wa tatu milioni tatu na nusu, wa nne milion moja na nusu nwa tano milioni moja.
Akizungumza na waandishi wa habari mkuu wa shindano hilo Madam Ritha Paulsen amesema, fainali za mpambano huo zitafanyika usiku wa mkesha wa kumbukumbu ya siku naliyokfa baba wa Taifa mwl Julius Kambarage Nyerere katika ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam.Amesema fainal hizo zitapambwa na wasanii mahiri kama Shaa, FeisalIsmail, Baby Madaha Abubakar Mzur na wasanii wengine wengi wa nyumbani.
Madam Ritha amewataka wapenzi wa BSS kujitokeza kwa wingi siku hiyo ili waweze kushuhdia nani anakuwa mshindi na kujinyakulia pesa hizo ambazo zinaweza kuyakomboa maisha yake kama atakuwa na malengo mazuri.
Mpambano huo wa kumsaka mshindi wa Bss mwaka 2009 ulianza na wasanii 15,000 kutoka Mikoa mbalimbali ya Tanzania ambapo mpaka sasa katika fainali wamebakia Pascal Casian kutoka Mwanza, Peter msechu wa Kigoma, Jackson George wa Tanga pamoja na Kelvin Mbati anayewakilisha Jiji la Dar es Salaam.

Story writen by Adam Hussein.

1 comment :

  1. mshindi wa kwanza milioni 25 wa pili milioni 5, is it fair jamani???!!

    ReplyDelete