Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, October 18, 2009

MSINDI WA KWANZA WA ZAP APATIKANA - ZAIN

Ofisa wa Kampuni ya Zain Bi.Eleanora Maruma (kushoto) akibonyeza kitufe kwa ajili ya kutafuta mshindi wa kwanza wa Promosheni ya 'Shinda na Zap' iliyofanyika Dar es salaam mwishoni mwa wiki anaeshughudia wapili kushoto ni Msimamizi wa bodi ya michezo ya kubahatisha Bw.Emanuel Ndaki na Ofisa wa Mawasiliano ya Ndani wa Kampuni ya Zain Bi. Dangio Kaniki.(Picha na Rajabu Mhamila)

No comments :

Post a Comment