Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, July 1, 2012

VODACOM TANZANIA WAKABIDHI ZAWADI ZA LIGI KUU


Aden Rage Mwenyekiti wa Simba akipokea hundi ya Simba SC kutoka kwa mgeni rasmi Waziri Mkuu mstaafu Fredirick Sumaye katika hafla ya kukabidhi zawadi iliyofanyika kwenye Hoteli ya Double Tree jijini Dar es salaam, katikati ni mkuu wa masoko wa kampuni ya Vodacom Kevin Twisa. Picha Kwa hisani ya Bongostazblog

Mwesigwa katibu Mkuu wa Yanga akipokea hundi ya Yanga  
 kutoka kwa mgeni rasmi Waziri Mkuu mstaafu Fredirick Sumaye katika hafla ya kukabidhi zawadi iliyofanyika kwenye Hoteli ya Double Tree jijini Dar es salaam, katikati ni mkuu wa masoko wa kampuni ya Vodacom Kevin Twisa
Mzee Said wa Azam FC akipokea hundi ya Azam FC kutoka kwa mgeni rasmi Waziri Mkuu mstaafu Fredirick Sumaye katika hafla ya kukabidhi zawadi iliyofanyika kwenye Hoteli ya Double Tree jijini Dar es salaam, katikati ni mkuu wa masoko wa kampuni ya Vodacom Kevin Twisa
Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Osiah kulia, katikati Mkuu wa Masoko Vodacom Tanzania Kevin Twisa wakiwa na Waziri Mkuu mstaafu Fredirick Sumaye
Wadau wa Yanga, katika picha ya pamoja na Mh Sumaye
Wadau wa Simba SC katika picha ya pamoja na Mh Sumaye

No comments :

Post a Comment